Font Size
Mathayo 26:52-54
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 26:52-54
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
52 Yesu akamwambia, “Rudisha jambia lako mahali pake. Atumiaye jambia atauawa kwa jambia. 53 Hakika unajua kuwa ningemwomba Baba yangu yeye angenipa zaidi ya majeshi kumi na mawili ya malaika. 54 Lakini hilo lisingekubaliana na yale Maandiko, yanayosema hivi ndivyo ilivyopasa itokee.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International