Font Size
Mathayo 26:66-68
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 26:66-68
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
66 Mnasemaje?”
Viongozi wa Kiyahudi wakajibu, “Ana hatia, na ni lazima afe.”
67 Na baadhi ya waliokuwa pale wakamtemea mate Yesu usoni na kumpiga makonde na wengine walimpiga makofi. 68 Wakasema, “Tuonyeshe kuwa wewe ni nabii, Masihi! Nani amekupiga!”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International