Add parallel Print Page Options

10 Walizitumia sarafu hizo thelathini za fedha kununulia shamba la mfinyanzi, kama Bwana alivyoniamuru.”[a]

Gavana Pilato Amhoji Yesu

(Mk 15:2-5; Lk 23:3-5; Yh 18:33-38)

11 Yesu alisimama mbele ya Gavana, Pilato, ambaye alimwuliza Yesu, “Wewe ni mfalme wa Wayahudi?”

Yesu akajibu, “Waweza kusema hivyo.”

12 Lakini viongozi wa makuhani na viongozi wazee wa Kiyahudi walipomshutumu, hakusema kitu.

Read full chapter

Footnotes

  1. 27:9-10 Walichukua … alivyoniamuru Tazama Zek 11:12-13; Yer 32:6-9.