Font Size
Mathayo 27:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 27:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Viongozi wa makuhani wakaviokota vile vipande vya fedha Hekaluni. Wakasema, “Sheria yetu haituruhusu kuweka fedha hii katika hazina ya Hekalu, kwa sababu fedha hii imelipwa kwa ajili ya kifo, ni fedha yenye damu.” 7 Hivyo wakaamua kutumia fedha hiyo kwa kununulia shamba linaloitwa Shamba la Mfinyanzi kwa ajili ya kuwazikia wageni wanapokufa wakiwa ziarani katika mji wa Yerusalemu. 8 Ndiyo sababu eneo hilo bado linaitwa Shamba la Damu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International