Font Size
Mathayo 27:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 27:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
7 Hivyo wakaamua kutumia fedha hiyo kwa kununulia shamba linaloitwa Shamba la Mfinyanzi kwa ajili ya kuwazikia wageni wanapokufa wakiwa ziarani katika mji wa Yerusalemu. 8 Ndiyo sababu eneo hilo bado linaitwa Shamba la Damu. 9 Hili lilitimiza maneno ya nabii Yeremia aliposema:
“Walichukua sarafu thelathini za fedha. Hicho ni kiasi ambacho Waisraeli waliamua kulipa kwa ajili ya uhai wake.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International