Font Size
Mathayo 27:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 27:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 Ndiyo sababu eneo hilo bado linaitwa Shamba la Damu. 9 Hili lilitimiza maneno ya nabii Yeremia aliposema:
“Walichukua sarafu thelathini za fedha. Hicho ni kiasi ambacho Waisraeli waliamua kulipa kwa ajili ya uhai wake. 10 Walizitumia sarafu hizo thelathini za fedha kununulia shamba la mfinyanzi, kama Bwana alivyoniamuru.”[a]
Read full chapterFootnotes
- 27:9-10 Walichukua … alivyoniamuru Tazama Zek 11:12-13; Yer 32:6-9.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International