Font Size
Mathayo 3:16-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 3:16-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
16 Hivyo Yesu akabatizwa. Mara tu aliposimama kutoka ndani ya maji, mbingu zilifunguka na akamwona Roho Mtakatifu akishuka kutoka mbinguni kama hua[a] na kutua juu yake. 17 Sauti kutoka mbinguni ikasema, “Huyu ni Mwanangu, nimpendaye. Ninapendezwa naye.”
Read full chapterFootnotes
- 3:16 hua Ndege mfano wa njiwa, aendaye kwa kasi au “njiwa pori”, “tetere”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International