Font Size
Mathayo 3:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 3:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
3 Nabii Isaya alisema kuhusu habari za Yohana Mbatizaji pale aliposema,
“Kuna mtu anayeipaza sauti yake toka nyikani:
‘Tayarisheni njia kwa ajili ya Bwana;
nyoosheni njia kwa ajili yake.’”(A)
4 Huyo Yohana alivaa mavazi yaliyofumwa kutokana na manyoya ya ngamia. Naye alijifunga mkanda wa ngozi kuzunguka kiuno chake, na alikula nzige na asali mbichi. 5 Watu kutoka Yerusalemu na maeneo yote ya Uyahudi na wale kutoka maeneo yote yaliyo kando ya Mto Yordani walikwenda kwa Yohana Mbatizaji;
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International