Font Size
Mathayo 3:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 3:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Huyo Yohana alivaa mavazi yaliyofumwa kutokana na manyoya ya ngamia. Naye alijifunga mkanda wa ngozi kuzunguka kiuno chake, na alikula nzige na asali mbichi. 5 Watu kutoka Yerusalemu na maeneo yote ya Uyahudi na wale kutoka maeneo yote yaliyo kando ya Mto Yordani walikwenda kwa Yohana Mbatizaji; 6 huko waliungama matendo yao mabaya kwake naye akawabatiza katika Mto Yordani.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International