Font Size
Mathayo 3:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 3:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
7 Mafarisayo na Masadukayo wengi walikwenda kwa Yohana ili wabatizwe. Yohana alipowaona, akasema, “Enyi ninyi nyoka! Ni nani amewaonya kuikimbia hukumu ya Mungu inayokuja? 8 Muibadili mioyo yenu! Na muoneshe kwa vitendo kuwa mmebadilika. 9 Ninajua mnachofikiri. Mnataka akasema kuwa, ‘lakini Ibrahimu ni baba yetu!’ Hiyo haijalishi. Ninawaambia Mungu anaweza kumzalia Ibrahimu watoto kutoka katika mawe haya.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International