Font Size
Mathayo 4:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 4:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Ajaribiwa na Shetani
(Mk 1:12-13; Lk 4:1-13)
4 Kisha Roho Mtakatifu akamwongoza Yesu hadi nyikani ili akajaribiwe na Shetani. 2 Baada ya Yesu kufunga kwa siku arobaini mchana na usiku, akaumwa njaa sana.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International