Font Size
Mathayo 4:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 4:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Ajaribiwa na Shetani
(Mk 1:12-13; Lk 4:1-13)
4 Kisha Roho Mtakatifu akamwongoza Yesu hadi nyikani ili akajaribiwe na Shetani. 2 Baada ya Yesu kufunga kwa siku arobaini mchana na usiku, akaumwa njaa sana. 3 Mjaribu[a] akamwendea na akasema, “Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu, basi yaamuru mawe haya yawe mikate.”
Read full chapterFootnotes
- 4:3 Mjaribu Kwa maana ya kawaida, “Shetani”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International