Font Size
Mathayo 4:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 4:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Aanza Kazi yake Galilaya
(Mk 1:14-15; Lk 4:14-15)
12 Yesu aliposikia kuwa Yohana alikuwa amefungwa gerezani, alirudi katika wilaya ya Galilaya. 13 Lakini aliondoka Nazareti. Alikwenda kuishi Kapernaumu, mji ulio kando kando ya Ziwa Galilaya katika eneo la Zabuloni na Naftali. 14 Hili lilitokea ili kutimiza maneno aliyosema nabii Isaya:
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International