Font Size
Mathayo 4:14-16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 4:14-16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
14 Hili lilitokea ili kutimiza maneno aliyosema nabii Isaya:
15 “Sikilizeni, enyi nchi ya Zabuloni na Naftali,
nchi iliyo kando ya barabara iendayo baharini,
ng'ambo ya Mto Yordani!
Galilaya, wanapokaa Mataifa.
16 Watu wanaoishi katika giza ya kiroho,
nao wameiona nuru iliyo kuu.
Nuru hiyo imeangaza kwa ajili yao wale
wanaoishi katika nchi yenye giza kama kaburi.”(A)
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International