Font Size
Mathayo 4:15-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 4:15-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
15 “Sikilizeni, enyi nchi ya Zabuloni na Naftali,
nchi iliyo kando ya barabara iendayo baharini,
ng'ambo ya Mto Yordani!
Galilaya, wanapokaa Mataifa.
16 Watu wanaoishi katika giza ya kiroho,
nao wameiona nuru iliyo kuu.
Nuru hiyo imeangaza kwa ajili yao wale
wanaoishi katika nchi yenye giza kama kaburi.”(A)
17 Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaambia watu ujumbe wake unaosema, “Mbadili mioyo yenu na maisha yenu pia, kwa sababu Ufalme wa Mungu umewafikia.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International