Font Size
Mathayo 4:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 4:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Baada ya Yesu kufunga kwa siku arobaini mchana na usiku, akaumwa njaa sana. 3 Mjaribu[a] akamwendea na akasema, “Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu, basi yaamuru mawe haya yawe mikate.”
4 Yesu akajibu, “Maandiko yanasema, ‘Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila Neno linalotoka katika kinywa cha Mungu.’”(A)
Read full chapterFootnotes
- 4:3 Mjaribu Kwa maana ya kawaida, “Shetani”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International