Font Size
Mathayo 4:9-11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 4:9-11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
9 Shetani akamwambia Yesu, “Ukiinama na kuniabudu, nitakupa vitu hivi vyote.”
10 Yesu akamjibu Shetani akamwambia, “Ondoka kwangu Shetani! Kwani Maandiko yanasema, ‘Umwabudu Bwana Mungu wako na umtumikie yeye peke yake!’”(A)
11 Baada ya hayo, Shetani akamwacha. Ndipo malaika wakaja kumhudumia.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International