Font Size
Mathayo 5:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 5:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Kisha Yesu akaanza kuwafundisha watu kwa akasema:
3 “Heri[a] kwa walio maskini na wenye kujua kwamba wanamhitaji Mungu.[b]
Kwa kuwa ufalme wa Mungu ni wao.
4 Heri kwa wenye huzuni sasa.
Kwa kuwa watafarijiwa na Mungu.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International