Font Size
Mathayo 5:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 5:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
3 “Heri[a] kwa walio maskini na wenye kujua kwamba wanamhitaji Mungu.[b]
Kwa kuwa ufalme wa Mungu ni wao.
4 Heri kwa wenye huzuni sasa.
Kwa kuwa watafarijiwa na Mungu.
5 Heri kwa walio wapole.
Kwa kuwa watairithi nchi.[c]
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International