Font Size
Mathayo 5:40-42
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 5:40-42
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
40 Mtu akitaka kukushitaki ili akunyang'anye shati, mpe na koti pia. 41 Askari akikulazimisha kwenda naye maili moja,[a] nenda maili mbili pamoja naye. 42 Mpe kila anayekuomba, usimkatalie anayetaka kuazima kitu kwako.
Read full chapterFootnotes
- 5:41 maili moja Kama kilomita moja na nusu.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International