Font Size
Mathayo 5:42-44
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 5:42-44
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
42 Mpe kila anayekuomba, usimkatalie anayetaka kuazima kitu kwako.
Wapende Adui Zako
(Lk 6:27-28,32-36)
43 Mmesikia ilisemwa kuwa, ‘Wapende rafiki zako(A) na wachukie adui zako.’ 44 Lakini ninawaambia wapendeni adui zenu na waombeeni wale wanaowatendea vibaya.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International