Font Size
Mathayo 5:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 5:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Heri kwa wenye kiu na njaa ya kutenda haki.[a]
Kwa kuwa Mungu ataikidhi kiu na njaa yao.
7 Heri kwa wanaowahurumia wengine.
Kwa kuwa watahurumiwa pia.
8 Heri kwa wenye moyo safi,[b]
Kwa kuwa watamwona Mungu.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International