Font Size
Mathayo 5:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 5:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
7 Heri kwa wanaowahurumia wengine.
Kwa kuwa watahurumiwa pia.
8 Heri kwa wenye moyo safi,[a]
Kwa kuwa watamwona Mungu.
9 Heri kwa wanaotafuta amani.[b]
Kwa kuwa wataitwa watoto wa Mungu.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International