Font Size
Mathayo 6:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 6:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
10 Ufalme wako uje.
Mapenzi yako yafanyike hapa dunia,
kama yanavyofanyika huko mbinguni.
11 Utupe leo chakula tunachohitaji.
12 Utusamehe dhambi zetu,
kama tunavyowasamehe wale wanaotukosea.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International