Font Size
Mathayo 6:11-13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 6:11-13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
11 Utupe leo chakula tunachohitaji.
12 Utusamehe dhambi zetu,
kama tunavyowasamehe wale wanaotukosea.
13 Usiruhusu tukajaribiwa,
lakini utuokoe na Yule Mwovu.’[a]
Footnotes
- 6:13 Nakala zingine za Kiyunani zimeongeza: “Kwa kuwa ufalme na nguvu na utukufu ni vyako milele na milele. Amina.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International