Font Size
Mathayo 6:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 6:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
12 Utusamehe dhambi zetu,
kama tunavyowasamehe wale wanaotukosea.
13 Usiruhusu tukajaribiwa,
lakini utuokoe na Yule Mwovu.’[a]
14 Mkiwasemehe wengine makosa waliyowatendea, Baba yenu wa mbinguni naye atawasamehe makosa yenu pia.
Read full chapterFootnotes
- 6:13 Nakala zingine za Kiyunani zimeongeza: “Kwa kuwa ufalme na nguvu na utukufu ni vyako milele na milele. Amina.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International