Font Size
Mathayo 6:33-34
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 6:33-34
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
33 Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na mambo yote ambayo Mungu anahesabu kuwa ni mema na yenye haki. Ndipo Mungu atakapowapa yote mnayohitaji. 34 Msiisumbukie kesho. Kwa kuwa kesho itajisumbukia yenyewe. Kila siku ina mahangaiko yake ya kutosha.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International