Font Size
Mathayo 6:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 6:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 Msiwe kama wao. Baba yenu anajua yale mnayohitaji kabla hamjamwomba. 9 Hivyo, hivi ndivyo mnapaswa kuomba:
‘Baba yetu uliye mbinguni,
Jina lako lipewe utukufu.
10 Ufalme wako uje.
Mapenzi yako yafanyike hapa dunia,
kama yanavyofanyika huko mbinguni.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International