Font Size
Mathayo 7:19-21
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 7:19-21
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
19 Kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa kwenye moto. 20 Mtawatambua manabii hawa wa uongo kwa matendo yao.
21 Si kila aniitaye Bwana ataingia katika ufalme wa Mungu. Watakaoingia ni wale tu wafanyao yale ambayo Baba yangu wa mbinguni anataka.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International