Font Size
Mathayo 7:26-28
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 7:26-28
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
26 Lakini kila anayeyasikia mafundisho yangu na asiyatii ni kama mjinga aliyejenga nyumba yake kwenye mchanga. 27 Mvua kubwa iliponyesha na mafuriko kuja, na upepo ukavuma sana, nyumba yake ilianguka kwa kishindo kikuu.”
28 Yesu alipomaliza kufundisha, watu walishangaa sana namna alivyokuwa akifundisha.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International