Font Size
Mathayo 7:9-11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 7:9-11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
9 Ni nani kati yenu aliye na mwana ambaye akimwomba mkate atampa jiwe? 10 Au akimwomba samaki, atampa nyoka? Bila shaka hakuna! 11 Ijapokuwa ninyi watu ni waovu, lakini bado mnajua kuwapa vitu vyema watoto wenu. Hakika Baba yenu wa mbinguni atawapa vitu vyema wale wamwombao.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International