Add parallel Print Page Options

Yesu Amponya Mgonjwa

(Mk 1:40-45; Lk 5:12-16)

Yesu alipotelemka kutoka kwenye kilima, umati mkubwa wa watu ulimfuata. Mtu mmoja mwenye ugonjwa mbaya sana wa ngozi akamwendea, akainama mbele yake mpaka chini na akasema, “Bwana ukitaka una uwezo wa kuniponya.”

Read full chapter