Font Size
Mathayo 8:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 8:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Amponya Mgonjwa
(Mk 1:40-45; Lk 5:12-16)
8 Yesu alipotelemka kutoka kwenye kilima, umati mkubwa wa watu ulimfuata. 2 Mtu mmoja mwenye ugonjwa mbaya sana wa ngozi akamwendea, akainama mbele yake mpaka chini na akasema, “Bwana ukitaka una uwezo wa kuniponya.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International