Font Size
Matendo 4:25
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Matendo 4:25
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
25 Baba yetu Daudi alikuwa mtumishi wako. Kwa msaada wa Roho Mtakatifu aliandika maneno haya:
‘Kwa nini mataifa yanatenda kwa kiburi?
Kwa nini watu wanapanga mipango isiyofaa kama hii?
Matendo 4:26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Matendo 4:26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
26 Wafalme wa dunia hujiandaa kwa mapigano,
na watawala hukusanyika pamoja kinyume na Bwana
na kinyume na Masihi wake.’(A)
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International