Font Size
Tito 3:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Tito 3:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
10 Mwepuke mtu anayesababisha matengano baada ya onyo la kwanza na la pili, 11 kwa sababu unajua kuwa mtu wa jinsi hiyo amepotoka na anatenda dhambi. Amejihukumu mwenyewe.
Maelekezo ya Mwisho na Salamu
12 Nilipomtuma kwako Artema au Tikiko, jitahidi kuja Nikopoli ili kuonana nami, kwa sababu nimeamua kukaa huko wakati wa msimu wa baridi.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International