Font Size
Tito 3:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
Tito 3:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
Maagizo Ya Mwisho
12 Nitakapomtuma Artema au Tikiko kwako, jitahidi kuja Nika poli unione, maana nimeamua kukaa huko wakati wa majira ya bar idi. 13 Wahimize Zena, yule mwanasheria, na Apolo waje upesi na uhakikishe kwamba hawapungukiwi na kitu cho chote. 14 Watu wetu hawana budi kujifunza kuona umuhimu wa kutenda mema, ili waweze kusaidia watu wenye mahitaji ya lazima na maisha yao yasikose kuwa na matunda.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica