Font Size
Tito 3:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Tito 3:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Lakini Mungu Mwokozi wetu alitudhihirishia
wema na upendo alionao kwa wanadamu.
5 Alituokoa kwa sababu yeye ni mwenye rehema,
siyo kwa sababu ya matendo ya haki tuliyotenda na kupata kibali chake,
bali ni kwa rehema yake.
Yeye aliziosha dhambi zetu,
akatupa maisha mapya kwa njia ya Roho Mtakatifu.
Ikawa kama kuzaliwa kwa mara ya pili.
6 Mungu ametumiminia Roho Mtakatifu kwa wingi kwa njia ya Yesu Kristo Mwokozi wetu.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International