Font Size
Tito 3:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Tito 3:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 ambaye Mungu alitumiminia kwa wingi kwa njia ya Yesu Kristo Mwokozi wetu. 7 Na tukishahesabiwa haki kwa neema yake, tupate kufanywa warithi wa uzima wa milele tunaoutumainia . 8 Neno hili ni kweli kabisa. Ninataka uyatilie mkazo mambo haya ili wale waliomwamini Mungu waone umuhimu wa kutenda mema wakati wote, maana mambo haya ni mazuri na tena ni ya manufaa kwa watu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica