Font Size
Tito 3:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Tito 3:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Mungu ametumiminia Roho Mtakatifu kwa wingi kwa njia ya Yesu Kristo Mwokozi wetu.
7 Kwa neema yake Mungu alituweka huru mbali na dhambi.
Akatufanya kuwa warithi wake tulio na tumaini la uzima wa milele.
8 Huu ni usemi wa kuaminiwa. Nawataka ninyi kuyasisitiza mambo haya, ili wale waliokwisha kumwamini Mungu waweze kujitoa katika matendo mema. Mambo haya ni mazuri na ya kuwanufaisha watu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International