Add parallel Print Page Options

Kwa neema yake Mungu alituweka huru mbali na dhambi.
    Akatufanya kuwa warithi wake tulio na tumaini la uzima wa milele.

Huu ni usemi wa kuaminiwa. Nawataka ninyi kuyasisitiza mambo haya, ili wale waliokwisha kumwamini Mungu waweze kujitoa katika matendo mema. Mambo haya ni mazuri na ya kuwanufaisha watu.

Lakini yaepuke mabishano ya kipumbavu, majadiliano kuhusu koo, mabishano na ugomvi kuhusu Sheria, maana hayana faida na hayafai.

Read full chapter