Font Size
Ufunua wa Yohana 19:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 19:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Kisha nikasikia sauti kama sauti ya umati mkubwa wa watu, kama sauti ya maporomoko ya maji mengi na kama ngurumo kuu ya radi kubwa ikisema, “Haleluya! Kwa maana Bwana Mungu wetu Mwe nyezi anatawala. 7 Tufurahi na kushangilia na kumtukuza maana harusi ya Mwana-Kondoo imefika na bibi harusi wake amejitayar isha. 8 Alipewa kitani safi nyeupe inayong’aa ili avae.” Hiyo kitani safi ni matendo ya haki ya watakatifu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica