Font Size
Ufunua wa Yohana 21:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 21:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Na yule aliyeketi juu ya kile kiti cha enzi akasema, “Tazama, nafanya kila kitu kuwa kipya.” Pia akasema, “Andika haya, maana maneno haya ni ya kuaminika, tena ni ya kweli.” 6 Akaniambia, “Yamekamilika! Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho. Walio na kiu nitawapa maji kutoka katika chemchemi ya maji ya uzima bila malipo. 7 Atakayeshinda atarithi baraka zote hizi, na mimi nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica