Font Size
Ufunua wa Yohana 6:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 6:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Mwana- Kondoo Avunja Mihuri Saba
6 Kisha nikamwona Mwana -Kondoo akifungua mhuri wa kwanza kati ya ile mihuri saba. Nikasikia mmoja wa wale viumbe wanne akisema kwa sauti kama ya ngurumo: “Njoo!” 2 Nikaangalia, na hapo mbele yangu nikaona farasi mweupe na aliyempanda alikuwa na upinde, na alipewa taji akatoka kama mshindi akaendelee kushinda.
3 Mwana-Kondoo alipofungua muhuri wa pili, nikamsikia yule kiumbe hai wa pili akisema, “Njoo!”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica