Font Size
Ufunua wa Yohana 8:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 8:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Ule moshi wa ubani ukapanda juu mbele za Mungu, pamoja na maombi ya watu wa Mungu , kutoka mkononi mwa huyo malaika. 5 Halafu yule malaika akachukua kile chetezo akakijaza moto kutoka kwenye ile madhabahu akautupa juu ya nchi. Pakatokea radi, ngurumo, umeme na tetemeko la nchi.
Tarumbeta Za Kwanza Nne
6 Kisha wale malaika saba waliokuwa na tarumbeta saba waka jiandaa kuzipiga.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica