Font Size
Ufunua wa Yohana 8:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 8:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Halafu yule malaika akachukua kile chetezo akakijaza moto kutoka kwenye ile madhabahu akautupa juu ya nchi. Pakatokea radi, ngurumo, umeme na tetemeko la nchi.
Tarumbeta Za Kwanza Nne
6 Kisha wale malaika saba waliokuwa na tarumbeta saba waka jiandaa kuzipiga. 7 Malaika wa kwanza akapiga tarumbeta yake, pakatokea mvua ya mawe na moto uliochanganyika na damu, ikanyesha kwa nguvu juu ya nchi; na theluthi moja ya nchi ikateketea, na theluthi moja ya miti ikateketea na majani yote mabichi yakateke tea.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica