Font Size
Ufunua wa Yohana 8:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 8:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Tarumbeta Za Kwanza Nne
6 Kisha wale malaika saba waliokuwa na tarumbeta saba waka jiandaa kuzipiga. 7 Malaika wa kwanza akapiga tarumbeta yake, pakatokea mvua ya mawe na moto uliochanganyika na damu, ikanyesha kwa nguvu juu ya nchi; na theluthi moja ya nchi ikateketea, na theluthi moja ya miti ikateketea na majani yote mabichi yakateke tea.
8 Malaika wa pili akapiga tarumbeta yake na kitu kama mlima mkubwa unaowaka moto kikatupwa baharini. Theluthi moja ya bahari ikageuka kuwa damu,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica