Font Size
Ufunua wa Yohana 9:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 9:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Tarumbeta Ya Tano
9 Kisha malaika wa tano akapiga tarumbeta yake, nikaona nyota iliyokuwa imeanguka kutoka angani hadi ardhini. Nyota hiyo ili pewa ufunguo wa shimo la kuzimu. 2 Alipolifungua hilo shimo, moshi ulitoka ndani yake kama moshi wa tanuru kubwa sana. Jua na anga vilitiwa giza kwa ajili ya ule moshi uliotoka katika shimo hilo. 3 Kisha, katika ule moshi wakatoka nzige wakatua ardhini. Nao wakapewa nguvu kama nguvu ya nge wa duniani.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica