Font Size
Ufunua wa Yohana 9:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 9:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Waliambiwa wasidhuru nyasi za nchi, wala majani, wala mmea au mti wo wote. Bali wawadhuru wale watu wasiokuwa na muhuri wa Mungu kwenye vipaji vya nyuso zao. 5 Waliruhusiwa kuwatesa kwa muda wa miezi mitano lakini wasiwaue. Na uchungu wa kuuma kwao ulikuwa kama uchungu wa mtu anapoumwa na nge. 6 Katika siku hizo watu watata futa kifo lakini hawatakiona; watatamani kufa, lakini kifo kita wakimbia.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica