Font Size
Ufunua wa Yohana 9:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 9:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Waliruhusiwa kuwatesa kwa muda wa miezi mitano lakini wasiwaue. Na uchungu wa kuuma kwao ulikuwa kama uchungu wa mtu anapoumwa na nge. 6 Katika siku hizo watu watata futa kifo lakini hawatakiona; watatamani kufa, lakini kifo kita wakimbia.
7 Wale nzige walionekana kama farasi waliotayarishwa kwa vita; vichwani mwao kulikuwa na kitu kama taji za dhahabu; na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica