Font Size
Ufunua wa Yohana 9:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 9:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Katika siku hizo watu watata futa kifo lakini hawatakiona; watatamani kufa, lakini kifo kita wakimbia.
7 Wale nzige walionekana kama farasi waliotayarishwa kwa vita; vichwani mwao kulikuwa na kitu kama taji za dhahabu; na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu. 8 Manyoya yao yalifanana kama nywele za wanawake; na meno yao yalikuwa kama meno ya simba.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica