Font Size
Ufunua wa Yohana 9:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 9:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Wale nzige walionekana kama farasi waliotayarishwa kwa vita; vichwani mwao kulikuwa na kitu kama taji za dhahabu; na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu. 8 Manyoya yao yalifanana kama nywele za wanawake; na meno yao yalikuwa kama meno ya simba. 9 Walikuwa na magamba yaliyofanana na ngao za chuma; na kelele za mabawa yao zilikuwa kama kelele za magari ya farasi yenye farasi wanaokimbia kwenda vitani.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica